.

.

.

.

Tuesday, April 05, 2016

RAIS SHEIN ATEUA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, amefanya Uteuzi wa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Kwa Mujibu wa Uwezo aliopewa Chini ya Kifungu cha 66 cha Katiba ya Zanzibar ya 1984, amefanya uteuzi wa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar. Kupitia nafasi zake 10.   
Mhe Mohammed Aboud Mohammed CCM
Mhe Balozi Ali Karume.CCM 
Mhe Balozi Amina Salum Ali. CCM  
Mhe Moulin Castico. - CCM 
Mhe Hamad Rashid Mohammed ADC  
Mhe Said Soud Said - AFP   
Mhe Juma Ali Khatib - ADA-TADEA

Uteuzi huo unaaza leo tarehe 5/4/2016.

No comments:

Post a Comment