.

.

.

.

Thursday, September 18, 2014

MAMISS WATEMBELEA MBUGA YA WANYAMA MIKUMI



Warembo 30 wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Tanzania 2014 jana walitembelea hifadhi ya taifa ya Mikumi mkoani Morogoro kujionea vivutio mbalimbali vya utalii viliovyopo katika hifadhi hiyo ambapo waliweza kujionea wanyama wa aina mbalimbali wakiwepo, Tembo, Twiga, Swala, Viboko na Simba.
 Kaimu Mhifadhi Utalii wa Hifadhi ya Taifa Mikumi, Apaikunda Mungure akigawa vipeperushi kwa warembo.
Warembo walibahatika kuwaona Simba zaidi ya Saba wakiwamepumzika chini ya mti.
 Warembo wa Redd's Miss Tanzania wakiongozwa na Matron wao, Gladness Chuwa mbugani Mikumi.


Warembo wakipiga picha na watalii waliowakuta Mikumi.

 Punda milia nao walionekana kwa wingi.
 Wakisikiliza maelezo juu ya Viboko kutoka kwa Benina Mwananzila.

No comments:

Post a Comment